Agano la Kale

Agano Jipya

Maombolezo 1:19-22 Biblia Habari Njema (BHN)

19. “Niliwaita wapenzi wangu,lakini wao wakanihadaa.Makuhani na wazee wanguwamefia mjiniwakijitafutia chakula,ili wajirudishie nguvu zao.

20. “Ona, ee Mwenyezi-Mungu nilivyo taabuni.Roho yangu imechafuka,moyo wangu unasononekakwani nimekuasi vibaya.Huko nje kumejaa mauaji,ndani nako ni kama kifo tu.

21. “Sikiliza ninavyopiga kite;hakuna wa kunifariji.Maadui zangu wote wamesikia juu ya taabu yangu:Wanafurahi kwamba umeniletea maafa.Uifanye ile siku uliyoahidi ifike,uwafanye nao wateseke kama mimi.

22. “Uwapatilize kwa ajili ya uovu wao wote.Uwatende kama ulivyonitenda mimikwa sababu ya makosa yangu yote.Nasononeka sana kwa maumivuna moyo wangu unazimia.”

Kusoma sura kamili Maombolezo 1