Agano la Kale

Agano Jipya

Malaki 3:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini ni nani atakayestahimili siku hiyo atakapokuja? Ni nani atakayesimama kustahimili atakapotokea? Yeye ni kama moto mkali usafishao chuma; ni kama sabuni ya dobi.

Kusoma sura kamili Malaki 3

Mtazamo Malaki 3:2 katika mazingira