Agano la Kale

Agano Jipya

Malaki 2:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Ni wajibu wa makuhani kuwafundisha watu maarifa ya kweli juu ya Mungu. Watu wawaendee kujifunza matakwa yangu kwao, kwani makuhani ni wajumbe wa Mwenyezi-Mungu wa majeshi.

Kusoma sura kamili Malaki 2

Mtazamo Malaki 2:7 katika mazingira