Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 9:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie kwamba mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Waebrania, nasema, ‘Waache watu wangu waondoke ili wakanitumikie.

2. Kama ukikataa kuwaacha waondoke na ukiendelea kuwashikilia,

Kusoma sura kamili Kutoka 9