Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 8:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Watu wakawakusanya vyura hao marundo marundo; nchi nzima ikanuka.

15. Lakini Farao alipoona kwamba nchi imepata nafuu, akawa mkaidi tena, wala hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama Mwenyezi-Mungu alivyokuwa amesema.

16. Kisha, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mwambie Aroni anyoshe fimbo yake na kuyapiga mavumbi, nayo yatageuka kuwa viroboto kote nchini Misri.”

Kusoma sura kamili Kutoka 8