Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 6:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mwenyezi-Mungu akaongea na Mose na Aroni, akawaagiza waende kwa Farao, mfalme wa Misri, na kuwatoa Waisraeli nchini Misri.

Kusoma sura kamili Kutoka 6

Mtazamo Kutoka 6:13 katika mazingira