33. Wakamletea Mose hema takatifu pamoja na vyombo vyake vyote, vikonyo vyake, mbao zake, pau zake, nguzo zake na vikalio vyake;
34. kifuniko cha ngozi za kondoo dume na mbuzi kilichotiwa rangi nyekundu, pazia la mahali patakatifu,
35. sanduku la agano, mipiko yake na kiti cha rehema;
36. meza na vyombo vyake vyote, mikate iliyowekwa mbele ya Mungu;