Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 39:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Zile ncha mbili za mikufu ya dhahabu walizitia kwenye vile vijalizo viwili wakazishikamanisha na vile vipande viwili vya mabegani vya kizibao, upande wa mbele.

Kusoma sura kamili Kutoka 39

Mtazamo Kutoka 39:18 katika mazingira