Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 32:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini sasa nenda ukawaongoze watu mpaka mahali nilipokuambia. Tazama, malaika wangu atakutangulia. Hata hivyo, siku nitakapowajia, nitawaadhibu kwa sababu ya dhambi yao.”

Kusoma sura kamili Kutoka 32

Mtazamo Kutoka 32:34 katika mazingira