Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 30:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Utatengeneza madhabahu kwa mbao za mjohoro ili pawe mahali pa kufukizia ubani.

2. Madhabahu hiyo iwe ya mraba, urefu na upana wake sentimita 45, na kimo chake sentimita 90. Pembe zake za juu zitatokeza zote zikiwa kitu kimoja na madhabahu yenyewe.

Kusoma sura kamili Kutoka 30