1. “Utatengeneza madhabahu kwa mbao za mjohoro ili pawe mahali pa kufukizia ubani.
2. Madhabahu hiyo iwe ya mraba, urefu na upana wake sentimita 45, na kimo chake sentimita 90. Pembe zake za juu zitatokeza zote zikiwa kitu kimoja na madhabahu yenyewe.