Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 25:4-9 Biblia Habari Njema (BHN)

4. sufu ya buluu, ya zambarau na nyekundu, kitani safi iliyosokotwa manyoya ya mbuzi;

5. ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi za mbuzi, mbao za mjohoro,

6. mafuta kwa ajili ya taa, viungo kwa ajili ya mafuta ya kuweka wakfu na kwa ajili ya ubani wenye harufu nzuri,

7. vito vya sardoniki, na vito vingine kwa ajili ya mapambo ya kizibao cha kuhani na kifuko cha kifuani.

8. Vilevile Waisraeli watanitengenezea hema takatifu, ili niweze kukaa kati yao.

9. Utatengeneza hema hiyo na vifaa vyake kulingana na mfano nitakaokuonesha.

Kusoma sura kamili Kutoka 25