Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 24:17-18 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulionekana mbele ya macho ya watu wa Israeli kama moto unaowaka juu ya mlima.

18. Mose akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani. Alikaa huko kwa muda wa siku arubaini, mchana na usiku.

Kusoma sura kamili Kutoka 24