Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 20:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Nyinyi mtanijengea madhabahu ya udongo ambayo juu yake mtanitambikia kondoo wenu na ng'ombe wenu kama sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Mahali popote nitakapowakumbusha watu jina langu, papo hapo mimi mwenyewe nitawajia na kuwabariki.

Kusoma sura kamili Kutoka 20

Mtazamo Kutoka 20:24 katika mazingira