Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 20:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwenyezi-Mungu alizungumza maneno haya yote, akasema,

2. “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekutoa nchini Misri, ambako ulikuwa mtumwa.

3. “Usiwe na miungu mingine ila mimi.

4. “Usijifanyie sanamu ya miungu wa uongo, au kinyago cha chochote kilicho mbinguni, katika nchi au majini chini ya dunia.

Kusoma sura kamili Kutoka 20