Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 18:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akamweleza mkwewe mambo yote Mwenyezi-Mungu aliyomtenda Farao na Wamisri kwa ajili ya Waisraeli. Alimwambia pia juu ya shida zote zilizowapata safarini na jinsi Mwenyezi-Mungu alivyowaokoa.

Kusoma sura kamili Kutoka 18

Mtazamo Kutoka 18:8 katika mazingira