Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 15:26 Biblia Habari Njema (BHN)

akawaambia, “Ikiwa mtaisikiliza kwa makini sauti yangu mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kutenda yaliyo sawa mbele yangu, na kuheshimu amri na maagizo yangu yote, basi, mimi sitawaletea yale magonjwa niliyowaletea Wamisri. Kwa sababu, mimi ndimi Mwenyezi-Mungu ninayewaponya nyinyi.”

Kusoma sura kamili Kutoka 15

Mtazamo Kutoka 15:26 katika mazingira