Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, malaika wa Mungu aliyekuwa mbele ya kundi la Waisraeli aliondoka akakaa nyuma yao. Na ule mnara wa wingu pia uliondoka mbele ukasimama nyuma yao,

Kusoma sura kamili Kutoka 14

Mtazamo Kutoka 14:19 katika mazingira