Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 14:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

2. “Waambie Waisraeli warudi nyuma, wapige kambi mbele ya Pi-hahirothi, kati ya mji wa Migdoli na bahari ya Shamu, mbele ya Baal-sefoni. Mtapiga kambi mbele yake karibu na bahari.

3. Maana, Farao atafikiri, ‘Hao Waisraeli wanatangatanga, nalo jangwa limewazuia wasiweze kutoka.’

Kusoma sura kamili Kutoka 14