Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 10:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Kwa hiyo sasa ninawasihi mnisamehe dhambi yangu, mara hii moja tu, mkaniombee kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, aniondolee kifo hiki.”

18. Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

19. Naye Mwenyezi-Mungu akaleta upepo mkali toka magharibi, ukawainua wale nzige na kuwasukumia kwenye bahari ya Shamu. Hakuna hata nzige mmoja aliyebaki katika nchi nzima ya Misri.

Kusoma sura kamili Kutoka 10