Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 1:1-6 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Haya ndiyo majina ya watoto wa kiume wa Israeli, ambao walikwenda Misri, kila mmoja na jamaa yake:

2. Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda,

3. Isakari, Zebuluni, Benyamini,

4. Dani, Naftali, Gadi na Asheri.

5. Wazawa wote wa Yakobo walikuwa watu 70. Wakati huo Yosefu alikuwa amekwisha tangulia kukaa huko Misri.

6. Baadaye, Yosefu alifariki, hali kadhalika ndugu zake na kizazi kile chote.

Kusoma sura kamili Kutoka 1