Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 1:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Haya ndiyo majina ya watoto wa kiume wa Israeli, ambao walikwenda Misri, kila mmoja na jamaa yake:

2. Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda,

3. Isakari, Zebuluni, Benyamini,

4. Dani, Naftali, Gadi na Asheri.

5. Wazawa wote wa Yakobo walikuwa watu 70. Wakati huo Yosefu alikuwa amekwisha tangulia kukaa huko Misri.

Kusoma sura kamili Kutoka 1