Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 30:20 Biblia Habari Njema (BHN)

mkimpenda Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mkiitii sauti yake na kuambatana naye. Maana kufanya hivyo kunamaanisha kwamba mtapata maisha marefu na kuishi katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu aliwaahidi wazee wenu, Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atawapeni.”

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 30

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 30:20 katika mazingira