Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 30:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mkitii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ambazo ninawapa leo, mkampenda Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kufuata njia zake na kushika masharti na maagizo yake, basi, mtaishi na kuongezeka; naye Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawabariki katika nchi ambayo mnakwenda kuimiliki.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 30

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 30:16 katika mazingira