Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 25:5 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama ndugu wawili wa kiume wanaishi mahali fulani na mmoja wao akafariki bila kuacha mtoto wa kiume, mkewe marehemu asiolewe na mtu mwingine nje ya jamaa hiyo. Ni wajibu wa ndugu wa marehemu kumwoa mjane huyo.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 25

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 25:5 katika mazingira