Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 20:19 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mkiuzingira mji kwa muda mrefu, mkapigana kuuteka, msiiharibu miti ya matunda kwa mashoka. Je, miti ni watu hata muishambulie? Mnaweza kula matunda ya miti hiyo, lakini msiikate.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 20

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 20:19 katika mazingira