Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 18:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Maana yeyote atendaye mambo haya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu; na kwa ajili ya mambo haya ya kuchukiza, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawafukuza watu wa namna hiyo mbele yenu.

13. Muwe wakamilifu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

14. “Mataifa haya ambayo mtaimiliki nchi yao hufuata maongozi ya waaguzi na wapiga ramli; lakini Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu hawaruhusu nyinyi kufanya hivyo.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 18