Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 16:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Mtazingatia haki tu, ili mpate kuishi na kuimiliki nchi mnayopewa na Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

21. “Msipande mti wowote uwe nguzo ya mungu wa uongo karibu na meza ya madhabahu sadaka mtakayomjengea Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

22. Wala msisimamishe nguzo ambayo Mwenyezi-Mungu Mungu wako anaichukia.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 16