Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 14:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Hiyo itakuwa kwa ajili ya Walawi, kwa kuwa hawana fungu wala urithi wao kati yenu, nao wageni, yatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu, watakuja kula na kushiba. Fanyeni hivi naye Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, awabariki katika kazi zenu zote mfanyazo kwa mikono yenu.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 14

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 14:29 katika mazingira