Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 66:3 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini watu hawa wanafanya wanavyotaka:Wananitolea tambiko ya ng'ombena mara wanaua watu kutambikia.Wananitolea sadaka ya mwanakondoona pia wanamvunja mbwa shingo.Wananitolea tambiko ya nafakana pia kupeleka damu ya nguruwe.Wanachoma ubani mbele yanguna kwenda kuabudu miungu ya uongo.Hao wamechagua kufuata njia zao wenyewe.

Kusoma sura kamili Isaya 66

Mtazamo Isaya 66:3 katika mazingira