Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mimi nikasema, “Ole wangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni najisi, na watu ninaoishi nao ni najisi kama mimi. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mfalme, Mwenyezi-Mungu wa majeshi.”

Kusoma sura kamili Isaya 6

Mtazamo Isaya 6:5 katika mazingira