Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akaniambia,“Zipumbaze akili za watu hawa,masikio yao yasisikie,macho yao yasione;ili wasije wakaona kwa macho yao,wakasikia kwa masikio yao,wakaelewa kwa akili zao,na kunigeukia, nao wakaponywa.”

Kusoma sura kamili Isaya 6

Mtazamo Isaya 6:10 katika mazingira