15. Mtu yeyote akija kukushambulia,hatakuwa ametumwa nami.Yeyote atakayekushambulia,ataangamia mbele yako.
16. “Tazama, mimi ndiye niliyemuumba mhunzi,afukutaye moto wa makaa na kufua silaha.Ni mimi pia niliyemuumba mwangamizi anayeangamiza.
17. Silaha zote zilizoundwa kukudhuru wewehazitafaa chochote kile.Mtu akikushtaki mahakamani, utamshinda.Hilo ndilo fungu nililowapangia watumishi wangu.Hizo ndizo haki nilizowathibitishia.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.