7. Utayafumbua macho ya vipofu,utawatoa wafungwa gerezani,waliokaa gizani utawaletea uhuru.
8. Jina langu mimi ni Mwenyezi-Mungu;utukufu wangu sitampa mwingine,wala sifa zangu sanamu za miungu.
9. Tazama, mambo niliyotabiri yametukia;na sasa natangaza mambo mapya,nakueleza hayo kabla hayajatukia.”