Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 42:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Utayafumbua macho ya vipofu,utawatoa wafungwa gerezani,waliokaa gizani utawaletea uhuru.

8. Jina langu mimi ni Mwenyezi-Mungu;utukufu wangu sitampa mwingine,wala sifa zangu sanamu za miungu.

9. Tazama, mambo niliyotabiri yametukia;na sasa natangaza mambo mapya,nakueleza hayo kabla hayajatukia.”

Kusoma sura kamili Isaya 42