Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 40:13-16 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Nani awezaye kuiongoza akili ya Mwenyezi-Mungu,au kuwa mshauri wake na kumfunza?

14. Mwenyezi-Mungu alimtaka nani shauri,ndipo akapata kuwa mwenye ujuzi?Nani aliyemfunza njia za haki?Nani aliyemfundisha maarifa,na kumwonesha namna ya kuwa na akili?

15. Kwake mataifa ni kama tone la maji katika ndoo,ni kama vumbi juu ya mizani.Kwake visiwa ni vyepesi kama vumbi laini.

16. Kuni zote za Lebanonina wanyama wake wotehavitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.

Kusoma sura kamili Isaya 40