Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 37:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Inawezekana kwamba Mwenyezi-Mungu, Mungu wako alisikia maneno ya mkuu wa matowashi ambaye ametumwa na mfalme wa Ashuru, bwana wake, ili kumtukana Mungu aliye hai, naye Mwenyezi-Mungu, Mungu wako atapinga maneno aliyoyasikia; kwa hiyo waombee watu waliobaki.’”

Kusoma sura kamili Isaya 37

Mtazamo Isaya 37:4 katika mazingira