Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 37:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, wakati Senakeribu alipokuwa akiabudu katika nyumba ya Nisroki mungu wake, wanawe wawili, Adrameleki na Sharezeri, walimuua kwa upanga, halafu wakakimbilia nchini Ararati. Naye Esar-hadoni, mwanawe, akatawala badala yake.

Kusoma sura kamili Isaya 37

Mtazamo Isaya 37:38 katika mazingira