Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 37:13-16 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Wako wapi wafalme wa Hamathi, Arpadi, Sefarvaimu, Hena na Iva?’”

14. Mfalme Hezekia alipokea barua kutoka kwa wajumbe na kuisoma. Kisha akaenda na kuingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, akaiweka mbele ya Mwenyezi-Mungu.

15. Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema;

16. “Ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, unayeketi katika kiti cha enzi juu ya viumbe wenye mabawa. Wewe ndiwe uliyeumba mbingu na dunia.

Kusoma sura kamili Isaya 37