Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 32:18-20 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Watu wangu watakaa katika makao ya amani,katika maskani salama na mazingira matulivu.

19. Msitu wa adui utatoweka kabisa,na mji wake utaangamizwa.

20. Lakini heri yenu nyinyi:Mtapanda mbegu zenu popote penye maji,ng'ombe na punda wenu watatembeatembea watakavyo.

Kusoma sura kamili Isaya 32