18. Watu wangu watakaa katika makao ya amani,katika maskani salama na mazingira matulivu.
19. Msitu wa adui utatoweka kabisa,na mji wake utaangamizwa.
20. Lakini heri yenu nyinyi:Mtapanda mbegu zenu popote penye maji,ng'ombe na punda wenu watatembeatembea watakavyo.