17. Basi, mimi Mwenyezi-Mungu nitawaadhibu;nitawanyoa nywele hao wanawake wa Siyoni,na kuwavua nguo za kufunika uchi wao.”
18. Siku yaja ambapo Mwenyezi-Mungu atawanyanganya wanawake wa Yerusalemu vitu vyote wanavyoringia: Njuga, kaya, mikufu,
19. vipuli, vikuku, shungi,
20. vitambaa vya kichwani, bangili, vibwebwe, vibweta vya marashi, hirizi,
21. pete, hazama,
22. mavazi ya sikukuu, mitandio, majoho, mikoba,