13. Kauli ya Mungu dhidi ya Arabia.Enyi misafara ya Dedani,pigeni kambi leo usiku kwenye nyika za Arabia.
14. Enyi wakazi wa nchi ya Tema,wapeni maji hao wenye kiu;wapelekeeni chakula hao wakimbizi.
15. Maana wamekimbia mapanga,mapanga yaliyochomolewa,pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.