1. Kauli ya Mungu dhidi ya jangwa kando ya bahari.Kama vimbunga vinavyovuma kutoka kusini,wavamizi wanakuja kutoka jangwani,kutoka katika nchi ya kutisha.
2. Nimeoneshwa maono ya kutisha,maono ya watu wa hila watendao hila,maono ya watu waangamizi wafanyao maangamizi.Pandeni juu vitani enyi Waelamu;shambulieni enyi Wamedi!Mungu atakomesha mateso yoteyaliyoletwa na Babuloni.