4. Sikilizeni kelele milimanikama za kundi kubwa la watu!Sikilizeni kelele za falme,na mataifa yanayokusanyika!Mwenyezi-Mungu wa majeshianalikagua jeshi linalokwenda vitani.
5. Wanakuja kutoka nchi za mbali,wanatoka hata miisho ya dunia:Mwenyezi-Mungu na silaha za hasira yakeanakuja kuiangamiza dunia.
6. Lieni maana siku ya Mwenyezi-Mungu imekaribia;inakuja kama maafa kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu.
7. Kwa hiyo mikono ya kila mtu italegea,kila mtu atakufa moyo.