Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati Mwenyezi-Mungu atakapomaliza kazi zake zote mlimani Siyoni na mjini Yerusalemu, atamwadhibu mfalme wa Ashuru, kwa sababu ya majivuno na kiburi chake.

Kusoma sura kamili Isaya 10

Mtazamo Isaya 10:12 katika mazingira