Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 1:30-31 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani;kama shamba lisilo na maji.

31. Wenye nguvu watakuwa kama majani makavu,matendo yao yatakuwa kama cheche za moto.Watateketea pamoja na matendo yao,wala hapatakuwa na mtu wa kuwaokoa.

Kusoma sura kamili Isaya 1