Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 8:23-26 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

24. “Kila Mlawi mwenye umri wa miaka ishirini na mitano na zaidi, atahudumu katika hema langu la mkutano;

25. na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.

26. Baada ya hapo, anaweza kuwasaidia Walawi wenzake wanapohudumu katika hema, lakini haruhusiwi kutoa huduma yoyote peke yake. Ndivyo utakavyowapangia kazi Walawi.”

Kusoma sura kamili Hesabu 8