Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 6:24-27 Biblia Habari Njema (BHN)

24. ‘Mwenyezi-Mungu awabariki na kuwalinda;

25. Mwenyezi-Mungu awaangalie kwa wema, na kuwafadhili;

26. Mwenyezi-Mungu awaoneshe wema wake na kuwapa amani.’

27. “Ndivyo watakavyotamka jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”

Kusoma sura kamili Hesabu 6