Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 5:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Akisha kunywa, kama amejitia najisi na hakuwa mwaminifu kwa mume wake, maji hayo yaletayo laana yatamletea maumivu makali sana; mwili wake utavimba na tumbo lake la uzazi litaharibika. Mwanamke huyo atakuwa laana miongoni mwa watu wake.

Kusoma sura kamili Hesabu 5

Mtazamo Hesabu 5:27 katika mazingira