Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 4:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Lakini wazawa wa Kohathi hawataingia kamwe kuvitazama vitu hivyo vitakatifu sana; wakifanya hivyo watakufa.”

21. Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

22. “Wahesabu watu wa ukoo wa Gershoni, kufuatana na familia na koo zao;

Kusoma sura kamili Hesabu 4