Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 4:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

2. “Wahesabu watu wa ukoo wa Kohathi, mmoja wa koo za Lawi, kufuatana na jamaa zao na koo zao;

3. utawaorodhesha wanaume wote wenye umri kati ya miaka thelathini na hamsini wanaofaa kujiunga na huduma ya hema la mkutano.

4. Hii ndio itakayokuwa huduma ya wana wa Kohathi, kuhusu vitu vitakatifu kabisa.

Kusoma sura kamili Hesabu 4