Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 35:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana huyo aliyeua ni lazima akae ndani ya mji wa makimbilio mpaka kuhani mkuu atakapofariki; lakini baada ya kifo cha kuhani mkuu anaweza kurudi nyumbani.

Kusoma sura kamili Hesabu 35

Mtazamo Hesabu 35:28 katika mazingira